Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Ilala,Mh. Jerry Silaa akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa madarasa mawili ya shule ya msingi Kinyerezi yaliyojengwa kwa hisani ya kampuni ya Songas leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Songas bw. Christopher Ford.
Wanafunzi na walimu wa Shule ya msingi Kinyerezi wakifurahia jambo na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Ilala,Mh. Jerry Silaa na Mkurugenzi wa Songas Christopher Ford ndani ya darasa jipya lililojengwa na Songas na kukabidhiwa kwa shule ya msingi leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal mbona nasikia mzee wetu D .wakati amefariki ni kweli?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...