Home
Unlabelled
Katibu wa Nec Uchumi na Fedha wa CCM Mwigulu Nchemba aongelea skafu yake isiyomtoka shingoni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hata mimi napenda sana bendera ya Taifa (Tanzania), nimeamua kuiweka nyumbani kwangu kama sehemu ya kuonesha uzalendo wangu kwa nchi.
ReplyDeleteHata hivyo wale wote ambao tunasema tuna uzalendo na nchi tunatakiwa kuonesha uzalendo huo kwa vitendo. Mfano mambo ya ufisadi ambayo yanaonekana kuwa sehemu ya wanasiasa na hata wasio wanasiasa, yanatakiwa yasiwepo kwa mtu mwenye uzalendo.
Pia mwenye uzalendo anatakiwa kutoa taarifa ya jambo lolote linalofanywa na mtu asiyeitakia mema nchi au watu wake.n.k.
Sasa je, sisi wenye uzalendo na Tanzania tunao uzalendo wa kweli?
wana-mazengo mnamkumbuka mwigulu?
ReplyDelete