VERONICA BUNG'ANDO 
 1956---2010

ILIKUWA SIKU,MWEZI, MIEZI HATIMAE MWAKA UMETIMIA LEO TAREHE 02.11.2011
UNATIMIZA MWAKA TANGU ULIPOITWA NA MWENYEZI MUNGU KWA KWELI HATUACHI KUKUMBUKA HATA SIKU MOJA, TUNASIKIA UCHUNGU LAKINI TUNAFARIJIKA TUNAPOTUMAINI UPO PAMOJA NA WATAKATIFU WA MBINGUNI!
DAIMA UNAKUMBUKWA NA WATOTO WAKO BUNG'ANDO, VALENTINA(SELE), ANNASTAZIA(NTINI), MARIA(SHITA) NA RAYMOND.

PIA UNAKUMBUKWA NA WAKWE ZAKO, NA NDUGU ZAKO WOTE.

MISA YA KUMBUKUMBU KWA MAREHEMU WOTE ITAFANYIKA KATIKA KANISA LA MAMA WA HURUMA PAROKIA YA SHINYANGA JUMATANO TAREHE 02.11.2011 SAA 10 JIONI.

RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA, NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI... AMINA!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...