Baba yetu mpendwa Festusi Wambura Kichere (pichani), sasa ni miaka 26 tangu ututoke mwaka 1985 na kutangulia mbele ya haki, ukituacha katika majonzi tele.

Unakumbukwa sana na familia yako yote: Mama yetu mpendwa, PERUSI WAMBURA, pamoja na wanao KESI, KICHERE, WAMBURA, MARWA na LUCY.

Tulikupenda sana baba yetu, lakini Mwenyezi Mungu Muumba wa vyote alikupenda zaidi. Nasi tunamuomba aendelee kukupa pumziko la milele na lenye amani tele.

Tutaendelea kufuata wosia wako kwetu kuwa tupendane na
 tuwe na umoja ili tuwe na heshima mbele ya jamii yote.

Bwana Alitoa, Bwana alitwaa. 
Jina lake Litukuzwe milele
Amina
Kichere W. Kichere Jr.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...