Home
Unlabelled
mandhari mwanana za mkoa wa Tanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wallah sijaamini kamma Tanga ni kuzuri hivo . madau toka bujumbura
ReplyDeleteGlobu ya Jamii na Mwana Libeneke uliyetembelea Tanga,,,,uoto wa asili wa kijani, uwanda wa kupendeza, maji yakitiririka, hewa nzuri ikielea.... Hongera sana kwa kazi adhiim ya kuifichua siri ya nchi nzuri iliyofichika!
ReplyDeleteJamani ni blogu (blog) ya jamii na sio globu ya jamii......
ReplyDeleteMdau hapo juu, Tanga ni kuzuri sana. Hizo picha za chini ni wilayani Lushoto hapo, ni pazuri sana kwa utalii wa ndani.
ReplyDeleteNimepamisi sana, Irente, Bumbuli, Mtae etc.
Usiishie hapo Lushoto endelea mbele kwenye vijiji vingine kama lukozi,shume,malindi, Sunga mpaka Mtae hapa unauona mlima kilimanjaro asubuhi kama hakuna ukungu tembeeni mjionee uzuri wa Tanga wilaya ya Lushoto, watalii ni wengi kipindi cha baridi.Tembelea www.mamboviewpoint.org kuna mzungu mmojakajenga hotel ya kitalii.
ReplyDeleteyaani imeshinda ujerumani yenyewe iliotawala
ReplyDeletesasa ndio hapoo, wabongo karibu asilimia kubwa hawakai mikoani kwao au hawapendi kukaa vijijni wote wanataka wakajazane dar, mjini utasikia tutabanaa hapa hapa, wakati Tanzania yao ni kubwa na nzuri
ReplyDeletesasa ndio hapoo, wabongo karibu asilimia kubwa hawakai mikoani kwao au hawapendi kukaa vijijni wote wanataka wakajazane dar, mjini utasikia tutabanaa hapa hapa, wakati Tanzania yao ni kubwa na nzuri
ReplyDeletesasa ndio hapoo, wabongo karibu asilimia kubwa hawakai mikoani kwao au hawapendi kukaa vijijni wote wanataka wakajazane dar, mjini utasikia tutabanaa hapa hapa, wakati Tanzania yao ni kubwa na nzuri
ReplyDeletesasa ndio hapoo, wabongo karibu asilimia kubwa hawakai mikoani kwao au hawapendi kukaa vijijni wote wanataka wakajazane dar, mjini utasikia tutabanaa hapa hapa, wakati Tanzania yao ni kubwa na nzuri
ReplyDelete