Wajumbe wa NEC Mh Nimrod Mkono, Mh Asha Baraka na Mh Edward Lowassa wakiongea kwa furaha kabla kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kuanza mjini Dodoma. 
Katibu wa NEC Oganaizesheni  Mh. Asha Abdallah Juma akikumbatiana kwa furaha na mjumbe wa NEC Mh Zainabu Kawawa wakati wakiingia katika ukumbi wa White House wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Nyuma yao ni  Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mh Martin Shigela
NAPE NNAUYEKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM akiongea na wanahabari Makao makuu ya chama hicho Dodoma. Katika kusisitiza dhana ya kujivua gamba Nape ameweka bayana sio mtu ama watu bali ni mabadiliko ya kwenda na wakati ikiwa ni pamoja na kutumia teknolojia ya kisasa kama anavyoonekana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...