Mfanyakazi wa Idara ya Udhibiti wa Mapato ya kampuni ya Vodacom Tanzania Maka Mwalwanda (kulia) akiwa ameshikilia kikombe cha zawadi ya kwanza ya makusanyo mazuri ya mapato kwa mwezi wa tisa kutoka kwa wateja wa malipo ya baada. Kushoto kwake ni Joseph Kyula aliyepata zawadi ya mshindi wa tatu. Mbali na vikombe watumishi hao walipatiwa pia zawadi ya fedha taslimu kama motisha ya kazi nzuri.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mainjinia wanakesha hadi saa tisa kila siku kwenye server, Huduma inakua nzuri, wateja na mapato yaongezeka..... Zawadi zote zinaenda kwa wakusanya mapato na marketing!!!!

    Kaazi kweli kweli!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...