Prince Charles akisaini kitabu cha wageni huku mkewe na wenyeji wake Rais Dkt Jakaya Kikwete na Mama Salma kikwete wakiangalia leo asubuhi Ikulu jijini Dar es salaam.
 Mke wa Prince Charles Camilla, The Duchess of Cornawall, akisaini kitabu cha wageni huku mumewe na wenyeji wake Rais Dkt Jakaya Kikwete na Mama Salma kikwete wakiangalia. Picha na Ikulu
Kwa mapicha zaidi
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ankal, ningependa kujua ujio wa Mtoto wa Malkia wa Uingereza ni kuhusu nini? Maana nasikia hata Mtoto wake Prince William (Duke of Cambridge and Duchess of Cambridge nao watafuata)... Ni maoni yangu.

    ReplyDelete
  2. jamani anaejua hicho kidude chekundu ni cha nini anitoe ushamba maana wote hadi wachezaji sahivi huko EPL wanaweka ila sijajua ni kampeni ya nini haswaaa...

    ReplyDelete
  3. @ nov 07,08:57:00 pm.
    Hicho kidude chekundu wanaviita Poppy.
    Ni maalumu kwa ajili ya kukumbuka mashujaa wa Vita.
    Huwa vinavaliwa kila mwaka miezi kama hii hapa United Kingdom.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...