Bendi ya Twanga Pepeta imewasili leo mjini london tayari kwa makamuzi katika ukumbi wa Silver Spoon London kwa ajili ya Kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa wa Tanganyika. Usikose show hii ya Ukweli
Home
Unlabelled
Twanga Pepeta wavamia jiji la London
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...