Salaam Kaka Michuzi,

Mdau nimeambatanisha picha ya Jeep yangu nauza, in good running & body condition. 8-10km/litre, BVQ registration.

Interested buyer atwange 0713 860 860 ama 0767 same number.

Shukrani nazitanguliza.

Mdau.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Unauza kiasi gani? Engine size? Model? Year? Fuel? Transmission?

    ReplyDelete
  2. gari iko wapi na unauza kiasi gani. Pia toa maelelezo hiyo jeep ina miles ngapi, ya mwaka gani, cylinder ngapi na mengineyo.

    ReplyDelete
  3. hi,toa maelezo ya gari basi, unauza mapambo?

    ReplyDelete
  4. maswali mengi ya nini msilete udalali hakuna ganji kuona hapa kama una hela piga simu or shut the back up

    ReplyDelete
  5. gari la urithi au ?

    tujuze ili tujuwe mapema

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...