WALIOCHAGULIWA KWENYE UCHAGUZI NGAZI YA TAIFA WA CHAMA CHA WAANDISHI WA FILAMU/TANZANIA SCREEPTWRITER ASSOCIATION-TASA
  1. Abdul Maisala    -Mwenyekiti
  2. Kimela Billa    -Makamu Mwenyekiti
  3. Samwel Kitang’ala   -Katibu
  4. Subira O.Nassor Chuu   -Mweka Hazina
  5. Mike Sangu    -Mjumbe
  6. Dimo Debwe    -Mjumbe
  7. Ramadhani King’aru   -Mjumbe
  8. Badru Soud    -Mjumbe
  9. Amos Banzi    -Mjumbe
  10. Nasir Mohamed    -Mjumbe
  11. Christian Kauzeni   -Mjumbe
  12. Pirre Mwinuka Mwakalukwa  -Mjumbe
  13. Erick Chrispin    -Mjumbe
Kwa mujibu wa sharia ya TASA,TASA itakuwa na mikutano mikuu minne kwa mwaka,Mweyekiti ,Makamu Mwenyekiti na Katibu wa TASA Taifa wanapiga kura kwenye uchaguzi w a kuchagua viongozi wa Taifa wa Shirikisho la Filamu/Tanzania Film Federation-TAFF


Tunawapongeza wote waliochaguliwa kama wajumbe na nafasi nyingine za kiutendaji,Tunatarajia kuwa kuchaguliwa kwao kutaleta changamoto za kiutendaji na kusukuma mbele maendeleo ya TASA naTAFF.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mfanye kazi na kuacha kulalama,Muangalie mafanikio ya wasanii kwa sehumu nyingine za Africa yalivyo mazuri maana tukiwaambia Ulaya mtasema mbali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...