MKUU WA MKOA WA RUVUMA,MH. SAID MWAMBUNGU AKIKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI WA MKOA HUO (HAWAPO PICHANI) JUU YA SAKATA LINALOENDELEA LA MALIPO YA WAKULIMA WA MAHINDI WA MKOA HUO AMBAO WANAIDAI SERIKALI ZAIDI YA BILIONI 9 BAADA YA KUUZA MAHINDI YAO KWA WAKALA WA CHAKULA WA TAIFA (NFRA) KITUO CHA SONGEA,AMBAPO AMEAHIDI KWA WAKULIMA HAO KUWA SERIKALI IFIKAPO MWISHONI MWA WIKI HII ITALIPA MADENI HAYO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kila kona serikali inadaiwa kazi sana

    ReplyDelete
  2. Ni ajabu serekali kukosa hela za wakulima lakini wakapata za kuongeza posho za wabunge! Jamani tunakwenda wapi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...