Home
Unlabelled
wadau wala nondozz zao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Doto long time mzee wa pondi ..congrants sana mkuu
ReplyDeleteHongereni wadau Anderson Rwelu na Deusdedit Doto. Nakikumbuka sana MuCCoBS wakati huo nikisoma Shule ya Sekondari Old Moshi, inayopakana na shule hiyo, miaka ya 1980. Wakati huo kilikuwa kikiitwa Chuo cha Ushirika. Mara nyingi wanafunzi wa Moshi Seco walikuwa wakijifanya ni wanafunzi wa chuo hicho hasa nyakati za chakula, wenyewe tukikuwa tukiita 'kuzamia msosi Ushirika'. Chakula cha chuoni hapo kilikuwa ni kizuri sana ikilinganishwa na kile tulichokuwa tukila shuleni. Huwezi kuamini kuwa baadhi ya watu waliokuwa wakizamia msosi Ushirika hivi sasa ni watu wenye nyadhifa kubwa tu serikalini na katika makampuni mbalimbali. Big up MUCCoBS.
ReplyDelete