Bi Reziki Lesuya(shoto)akiongozana na mpambe wake kwenda kumtafuta bwana harusi mtarajiwa katika sherehe ya kuagwa iliyofanyika katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi.

 Bi Riziki Lesuya akiwa na mume wake mtarajiwa Ayubu Mmakasa wakitembea kwa pozi kuelekea katika bufee.

 Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro Bi Hilda Kileo akiongoza waandishi wa habari kwenda kutoa zawadi kwa mwandishi mwenzao Bi Riziki Lesuya.
Waandishi wa habari wakijimwaga ukumbini. 
Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...