Mfalme wa mduara Mzee Yusuf anataraji kufanya ziara ya nchini Marekani  Januari 2012. Kwa muajibu wa  waenyeji  wake, ndugu Mao na Bilal wa New York, Mfamle atafungua dimba ndani ya jiji la NEW YORK siku ya Januari 21,2012 . Baada ya show hiyo Mzee Yusuf ataendelea na ziara yake nchini Marekani katika miji mikuu ikiwemo Washington DC, Minneapolis MN, Houston TX, Seattle WA, Boston MA..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Marekani kuna mji mkuu mmoja tu na ni Washington D.C., hii mingine ni miji tu kama vila Mtwara, Iringa, na Mwanza.

    ReplyDelete
  2. anaenda na kundi lake au alone?

    ReplyDelete
  3. mzee masifa suruali haina mifuko au?naona funguo zinaning'inia kama askari wa jela au ndio show-off ushamba mtupu

    ReplyDelete
  4. VIONGOZI WA TANZANIA COMMUNITY IN NEW YORK WALIWAKANGANYA WATU WAKATI WA SHEREHE ZA MIAKA 50 UHURU KWA KUTANGAZA KUWA HUYU BWANA (MZEE YUSUF) ANGEKUWEPO. WAKAWALIPISHA WATU $30 KIINGILIO NA HAWAKUTOA SABABU WALA KUOMBA MSAMAHA KWA TAARIFA POTUFU. NAWASHAURI WATU MSIDANGANYWE NA HAWA VIONGOZI, NI WACHAKACHAUJI TU. KAMA KWELI MZEE YUSUFU SAFARI HII ANAKUJA KWELI NASHAURI MSIENDE NEW YORK LABDA MIJI MINGINE, HAWA JAMAA NI WIZI MTUPU.

    ReplyDelete
  5. we funguo zake zinakuboa nini? kama mifuko mifupi zikidondoka utamsaidia kutafuta? mihater bwana, utaijua tu

    ReplyDelete
  6. mifuko mifupi kwani suruali ya kike hiyo au na wewe ndio walewale mr/mrs misifa hayo mambo yashapitwa na wakati usharobaro wa kizamani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...