Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Fedha, , Mheshimiwa Pireira Ame Silima (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya The Procurement and Supplies Proffessionals and Technician Board (PSPTB), Bw.  Noel Mrope baada ya kufngua mkutano wa mwaka wa PSPTB kwenye kituo cha kimataifa cah mikutano cha AICC mjini Arusha
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Makamu, Mwenyekiti wa Bodi ya  The Procurement and Supplies Professionals and Technician Board (PSPTB), Sister Catherene Bandiho(kushoto) baada ya kufungua mkutano wa mwaka wa bodi hiyo kwenye ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha AICC, Desemba 14, 2011.  Watatu kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya  PSPTB, Noel Mrope. 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda , akikagua ujenzi wa  jengo la ofisi za makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Mjini Arusha Desemba 14, 2011ambalo linatarajiwa kuwa limekamilka ifikapo Februari mwakani.  Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo hilo, Phil  Kleruu  na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya anayeshughulia Fedha na Utawala, Dr. Rotich. Picha na PMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...