sherehe ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Rome, Italy.For more info wanaweza kututembelea hapa www.watanzania-roma.blogspot.com.
Thanx
Andrew Chole Mhella
Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Rome.
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
WAKATI UMEFIKA KWA WATANZANIA KUWA WAWAZI.KUSEMA KWELI SI KUWAHI KUSIKIA TANZANIA IMETAWALIWA NA MKOLONI AU YEYOTE NA WALA SIJUI KAMA KUNA KITU KINAITWA UHURU WA TANZANIA.Tumeungana baada ya uhuru ndipo tukapata Tanzania.Hivyo basi kwa nini hatuenzi Uhuru wa Tanganyika kama wanzibari wanvyosema kwao Uhuru wa Zanzibar?Uhuru ni nje na Muungano,na Muungano uko kivyake au sijui tumepotoka kwa sababu ya kiswahili?au tunachotaka kuficha watoto wetu ni kipi?Je wasijue kwamba kulikuwa na nchi inaitwa Tanganyika?au kuna nini ni kusema Uhuru wa Tanganyikla kabla ya Muuungano uliotupatia Tanzania?
ReplyDelete