Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu ya Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akizungumza na Waandishi wa habari wakati kampuni Airtel ambayo ilikuwa imejumuka pamoja na wasanii wa Muziki nchini kwenda kutoa msaada kwa waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu kilichopo Kinondoni,jijini Dar es Salaam.
Mtayarishaji wa Muziki (Producer) wa Bongo Flava mkongwe P Funk Majani akikabidhi sehemu ya msaada pamoja na umoja wa wasanii wa Airtel Bongo 50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Jordan Rugimbana maalum kwa waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa msaada huo leo vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula vyote vinathamani ya Shilingi milioni 10/-
Ofisa Rasilimalii Watu wa Airtel aliyeongozana na wafanyakazi wengine wa Airtel na wasanii muziki wa Bongo Flava,Doris Kibasa akikabidhi sehemu ya msaada uliotolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel pamoja na umoja wa wasanii wa Bongo 50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Jordan Rugimbana maalum kwa waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa msaada huo leo vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula vyote vinathamani ya Shilingi milioni 10/-
Kiongozi wa Bendi ya Exta Bongo,Ally Choki akikabidhi sehemu ya msaada uliotolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel pamoja na umoja wa wasanii wa Bongo 50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana maalum kwa waathirika wa mafuriko waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa msaada huo leo vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula vyote vinathamani ya Shilingi milioni 10/-
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Flava’ wa Kundi la Wanaume Halisi wakiongozwa na mkali Juma Nature na wakikabidhi sehemu ya msaada uliotolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel pamoja na umoja wa wasanii wa Bongo 50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana maalum kwa waathirika wa mafuriko jijini Dar es salaam waliokusanyika katika kituo cha Hananasifu kilichopo Kinondoni, Wasanii hao pamoja na Airtel wametoa msaada huo leo vikiwemo vifaa vya nyumbani zikiwemo nguo na vyakula vyote vinathamani ya Shilingi milioni 10/-.
Hivi jamani kuna watu wanachora tatoo Tz pia? Mbona dini zetu hazituruhusu? Au huyo ni mzungu? Du tunapenda kuiga hata uchafu
ReplyDeleteacha unafiki wewe mbona watu wanatukana usiku na mchana bongo na kunywa mipombe ovyo ovyo, uzinzi magesti yanafunguliwa kila siku, na wanadini, we umeona tatoo tu. Usihukumu usije ukahukumiwa, kipimo kilekile unachohukumia wenzako , utapimiwa na wewe.
ReplyDelete