Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bi. Joyce Mapunjo wakipatiwa maelezo kuhusiana na vipimo vya uzito, ujazo na urefu vilivyotumika kabla na baada ya Uhuru toka kwa Mtaalam wa Vipimo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bi. Joyce Mapunoa akinyanyua beam balance iliyotumika kabla na mara baada ya uhuru.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akipatiwa maelezo na Afisa Vipimo Mkuu Bi. Zainabu Kafungo jinsi mzani aina ya Stealyard unavyochezewa kiurahisi na kuwaibia wananchi hususani wakulima wa pamba.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bi. Joyce Mapunjo akioneshwa mojawapo ya aina za mizani zisizochezewa kiurahisi.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...