Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua baiskeli ya miguu mitatu iliyotengenezwa na Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogovidogo (SIDO) kwa ajili ya walemavu na ambayo baada ya kuikagua alishauri ifanyiwe majaribio kabla ya kuzalisha nyingi.Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa SIDO, Mike Laizerna kushoto ni Meneja wa SIDO wa Mkoa wa Dar es salaam, Hamwel Meena na wapili kushoto ni Ofisa wa Ufundi wa SIDO, Mina Nchimbi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...