Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua baiskeli ya miguu mitatu iliyotengenezwa na Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogovidogo (SIDO) kwa ajili ya walemavu na ambayo baada ya kuikagua alishauri ifanyiwe majaribio kabla ya kuzalisha nyingi.Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa SIDO, Mike Laizerna kushoto ni Meneja wa SIDO wa Mkoa wa Dar es salaam, Hamwel Meena na wapili kushoto ni Ofisa wa Ufundi wa SIDO, Mina Nchimbi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
Waziri Mkuu atembelea Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogovidogo nchini (SIDO)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...