FAMILIA YA BIBI SOPHIA KAWAWA SHEWEEN, INAPENDA KUTOA SHUKRANI ZAKE ZA DHATI KWA NDUGU, JAMAA, MARAFIKI, WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NA WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI KWA USHIRIKIANO, UPENDO NA FARAJA MLIYOIONYESHA WAKATI WA MSIBA NA MAZISHI YA MPENDWA WETU MAREHEMU AZIZ SHEWEEN ALIYEFARIKI DISEMBA31, 2011 HUKO RIYADH, SAUDI ARABIA NA KUZIKWA JANUARI 7, 2012, MOSHI, KILIMANJARO .

WOTE MNAKARIBISHWA KWENYE AROBAINI (HITMA) YA MAREHEMU AZIZ SHEWEEN ITAKAYOFANYIKA JUMAPILI TAREHE 5/2/2012 KUANZIA SAA 5.00 ASUBUHI - .MIKOCHENI DAR ES SALAAM (KARIBU NA SHULE YA KWANZA).

KUFIKA KWAKO NI FARAJA KWETU.

TUNATANGULIZA SHUKRANI ZETU ZA DHATI.

INNALILAH WAINNAILAYHI RAJUUN!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Asante Bi. Sophia,tutashiriki pamoja. Mwenyezi Mungu akujalie moyo wa subra,nguvu na afya pamoja na wototo wako. Tuzidi kuenzi ucheshi,upendo na uchapakazi wake. May his soal rest in peace. Amina

    ReplyDelete
  2. http://signup.wazzub.info/?lrRef=a505a make money through internet

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...