Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Ze biashara iz matangazozzzzz

    ReplyDelete
  2. afrika mokili mobimba !

    ReplyDelete
  3. Watani wajadi hao, hamna kulala. Kalagha bao nyie kelele wenzenu wapeta.

    ReplyDelete
  4. Wawekezaji wa aina hiyo hata Bongo wapo kibao.

    ReplyDelete
  5. sina mbavu na hiyo picha ya rais hapo ukutani


    Kazi nzuri braza G.

    ReplyDelete
  6. Ahhhh hapo hakuna Mwekezaji ,msururu mzima ni Timu ya mauzo!

    ReplyDelete
  7. Inasikitisha sana. Jamaa wa Sudan Kusini wamepata uhuru wao hata mwaka mmoja haujatimia na wameanza kuuana wenyewe katika vita vya kikabila. Mw Nyerere alisema "There's a devil in Africa". Wakati huo sikuelewa ana maana gani. Sasa naanza kuelewa alikuwa na maana gani. Hebu Waafrika tuanze kujifunza kutanzua matatizo yetu bila kumwaga damu. Vinginevyo (Mungu aepushe mbali) tutaendelea kuwa watu wa kuishi katika makambi ya wakimbizi huku tukingojea misaada kutoka UN na mashirika mengine ya 'kibinaadamu'.

    ReplyDelete
  8. Africa makambo mingi papa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...