Leo ni Hepi Besdei ya Blogger maarufu Ahmad Issa a.k.a  MichuziJR ambaye anaendesha blogu ya JIACHIE. Mdau huyu leo anatimiza miaka yake kadhaa baada ya kuifyeka vilivyo lakini Ijumaa yaleo ameitumia kumshukuru Mungu kwa baraka na afya tele aliyomjalia na kumsihi amzidishie miaka mingine kadhaa huko mbele. I am Proud of you guy and keep it UP!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Ankal hapa naona umejizaa mwenyewe wala hakuna wasiwasi.Happy b'day!!!

    ReplyDelete
  2. nakutakia kheri nyingi mwana libeneke.

    ReplyDelete
  3. Mdogo wake siyo mtoto wake we vipi kijana wa kwanza?

    ReplyDelete
  4. Mdogo wake siyo mtoto wake we vipi kijana wa kwanza?

    ReplyDelete
  5. hongera kijana. Kuhusu mrithi wa Senior, hatuna shida kabisa.

    ReplyDelete
  6. Mabruk bwana mdogo
    Mungu akuzidishie

    ReplyDelete
  7. Duh ivi kwenye hiyo keki naona sura yako au nawaza tu? Kama kweli tupe kontact za mtengenezaji wa hiyo keki

    ReplyDelete
  8. Jamani hiyo keki tugawane na mimi leo ni birthday yangu!

    ReplyDelete
  9. hongera sana unafanana kweli na mtoto wako.

    ReplyDelete
  10. Hongera sana Ndugu yetu,tunakutakia maisha bora na afya njema.
    wadau FFU ughaibuni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...