Umati mkubwa ukimsikiliza Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa akihutubia wakazi wa jiji la Mbeya eneo la Mbalizi leo bila kujali mvua iliyokuwa ikinyesha.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. mwacheni apigwe na mvua na yeye....kwanini wamkamatie mwevuli

    ReplyDelete
  2. Acha pumba wewe afya yake ni ya thamani sana kwetu huyu mtu.

    ReplyDelete
  3. mike zitadedi wewe chandimu!

    ReplyDelete
  4. wewe mdau wa juu, hujui kuwa mheshimiwa Slaa huyo ni kamanda wa vita, unafikiri anajari hata akinyeshewa mvua ya mawe!!? yeye mwenyewe ni jiwe kwa taarifa yako.

    ReplyDelete
  5. Nguvu ya Umma ni zaidi ya mafuriko! Haizuiliki kwa mabomu, mvua wala kwa vijembe kama vya anonymous wa saa 12:10. PEOPLE'S POWER!

    ReplyDelete
  6. People's Power! Hakuna kulala.... na bado maana jana Nape alihakikisha umma kuwa ile "list of shame" ya 2007 ndani ya ccm ni cha mtoto. Sasa hivi ni ndefu zaidi ya mara 50 na wala ccm haijui cha kufanya. Tafakari...chukua hatua...

    ReplyDelete
  7. our future president

    ReplyDelete
  8. hata mseme nini Dk Slaa ndio chaguo la Watanzania,CCM sasa kaendi pembeni nae ajaribu maana tumewachoka mimi binafsi naona uozo mtupu kwa baadhi ya viongozi....CDM ndio ya ukweli kwa sasa nadhani tuipe nafasi tuone,kwanza CCM mmeshaongoza sanaaaaaa halafu sioni tofauti yani tunafikia wakati baadhi ya watanzania tunasema bora tungechelewa kupata uhuru pengine tungekuwa mbali maana baada ya kwenda mbele tunarudi nyuma,serikali gani iliyojaaa ufisadiiiiiiiiiiii....usibanie comment kwa kuwa upo karibu na kaka mkubwa hahaha siku hizi

    ReplyDelete
  9. Huyu Slaa hakusoma, ni form VI tuu. Hiyo PhD yake ya kanisani haiwezi kuwa elimu ya kutosha kuendesha nchi. Slaa CV yake ni form VI na akiomba kazi serikalini basi atapewa kama za form VI wengine lakini siyo uongozi.

    Slaa anatumia udhaifu wa wananchi kifikra kwa sababu anajuwa udhaifu huo ndo unawafanya wapige kura hovyo. Ndiyo, wananchi wengi ni wadhaifu wa fikra kwa sababu ya maadui watatu: ujinga, maradhi, na umasikini. Udhaifu huu ndo ulifanya watu wamkubali Mwasapile wa loliondo na mitishamba yake.

    Slaa kukosa kisomo sahihi cha kuendesha ulimwengu (manajuwa kama vile digrii ya siasa, uchumi, sheria, sayansi, n.k.) kulimfanya ashindwe kuoa single au mjane akaishia kuvunja ndoa. Jinsi ujinga unavyofanya mtu akose maadili.

    Pia kama walishindwa kuona suala la DC wa Igunga je Slaa ana mtazamo? Na kama alishindwa kuleta suluhu la kuunganisha wapiga kura, je ana judgement huyu?

    Kama mnataka uraisi, basi Mtuhuru/Freeman anafaa zaidi ya maslishaji.

    Yaani mapasta na mashehe ndo wanagombe badala ya wasomi na sisi tunafuata kama vipofu.

    Slaa udaktari wake unakubalika zaidi kanisani kwake, kwa watu wengine hakusoma.

    Kama unaona Slaa ni daktari basi nenda shule au fungua akili maana imani imekupofua.

    ReplyDelete
  10. wewe wa hapo juu, inakuuma nini mwezio kushikiwa mwavuli? Inahuu?

    ReplyDelete
  11. hehehe, eti peoples power! Kawe tumempa Ubunge mtu wa Chadema hatuoni kipya wala hatumsikii. Acheni ujinga wa kuwashabikia watu jileteeni maendeleo wenyewe.

    ReplyDelete
  12. kaz inaendelea! harakati hazi rali

    ReplyDelete
  13. Usishangae huo umati mbeya watu huwa wanapenda matukio hata kichaa akiaanza kuruka ruka barabarani aweza vuta watu na kujaza umati kama huo.Mbeya ni sehemu ya ajabu mno.

    ReplyDelete
  14. kanisa linafanya kazi yake

    ReplyDelete
  15. Narudia urais hafai wala hataupata huyo mwanaharakati mzinzi. Tunabadilisha katiba ili zito awe rais.

    ReplyDelete
  16. Hivi huyo aliyeshika bango hajui dunia ilivyo na inakokwenda. Mngejua kila mtu anataka huo urais kwa manufaa yake binafsi na sio kwa umma. Mimi sina chama ila nimekuwa nafanya analysis na nilipoteza kura yangu 2010 kumchagua Myika pale kimara lakini hakuna alichokifanya kabisaaaaaaaaaaa wanasubiri hoja ije iliaanze kuijadili ooh mara hivi au vile huo ni viongozi gani Wadanganyike fungukeni macho jamani mtakuja kuongozwa na vichaa

    ReplyDelete
  17. Mnasema list of shame ya CCM na ya Chadema je? Ikitolewa list of shame ya Chadema huyo babu yenu mwenyewe haponi, kuanzia uzinzi mpaka ulaji wa ruzuku za chama. Mwacheni alowane hapo na mvua lakini mwaka 2015 atashika nafasi ya 3 labda waweke mgombea mwingine, maana si yeye wala Mkiti wake hawapati kitu!

    ReplyDelete
  18. wewe ni chizi uliza kwanzaili mtu ugombee Urais ni lazima uwe na Elimu gani siop unakurupuka tu eti Slaa form four ulishawahi kuona padre form 4 wewe ni kilaza nenda darasani kwanzal;akini sio kosa kosa lako AKILI YAKO NI YA KICCM CCM ndio maana na kama wamekutuma kawaambie wamenoaaaaaaaaaaa......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...