Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Bill and Melinda Gates Foundation Bw. Bill Gates wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia Bw. Kevin Rudd wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Thailand Bi. Yingluck Shinawatra wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Walmart Bw Doug Mc Millon wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Madame Sadako Ogata, Rais wa Japan International Cooperative Agency mjini Davos.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Waziri Mkuu wa Kenya Mh Raila Odinga baada ya kufanya naye mazungumzo mjini Davos.
Rais Jakay Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron mjini Davos, Uswisi.Picha na IKULU.
muheshimiwa umemwambia david cameron kwamba hatutaki ushoga
ReplyDeletehuyu jamaa kila wakati anatabasamu, ni nini kinacho mfurahisha (maghembe)?
ReplyDeleteMbinu ya Mapambano,
ReplyDeleteNdio kama hivyo JK ni kukaa nao meza moja na kuwabana ili tunufaike kutoka kwao na sio wao watubane sisi!
MHH!! Kikwete na Cameroun tena??! Nilikuwa napita tu.
ReplyDeleteTungeambiwa alichoonge na David Cameron jamani...
ReplyDeletejamaa naona anangalia saa poroo zimekuwa nyingi nini?
ReplyDeletehizo hela mi sidhani kama zinakuja serikali hizo nahisi zinapigwa panga huko huko! #ni mtazamo tu wadau msijenge chuki maana sioni maendeleo yoyote bongo tunazidi kuwa maskini.hao wajamaa hapo wanachinga dili zao
ReplyDeleteDavid-muni
manchester
Bill Gates alishawahi kutoa mada na kusema duniani kuna watu wengi sana, "ndio maana tunatafiti dawa za kuwapunguza." Angalia hapa kwenye YouTube: http://www.youtube.com/watch?v=12DmpWbMSTI&feature=results_main&playnext=1&list=PL641B19BE2505B3CC
ReplyDeleteAnoy wa pili..
ReplyDeleteInaelekea unamchukia sana Rais Kikwete maana hata heshima ya kumwita hutaki kuitoa.
"Huyu jamaa kila wakati anatabasamu,ni nini kinachomfurahisha"
Yaani unataka Raisi wetu awe kama lidudu vile yaani kanuna tu hivo ndio utafurahi.No way we like him the way he is.Raisi anapendeza awe mcheshi na mwenye tabasamu kwa watu wote na ndivo alivo Raisi wetu hachagui tajiri wala masikini.
Good luck Mr President
Mh JK hapa ndipo anaponifurahisha,yeye huwa hataki gharama za misafara ya kukutana na kila kiongozi duniani,Husubiri hadi kuwe na mikutano ya kimataifa hupatia hapo hapo viongozi wa dunia nzima,au kasoma uchumi huyu?
ReplyDeleteNimefurahi sana kujua Rais wangu anavyojulikana nje ya nchi na contacts zake na watu maarufu duniani.
ReplyDeletembona sijaona akikutana/kuongea na raisi wa nchi fulani? au mkutano uliudhuriwa zaidi na mawaziri na marais wa makampuni? nauliza tu
ReplyDelete