Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) akiongoza kikao cha Kamati ya uongozi ya bunge mara baada ya kipindi cha maswali na majibu Bungeni Dodoma Leo. kamati ya Uongozi imekaa kupitia upya ratiba ya mkutano wa Bunge ulioanza leo kwa lengo la kuboresha na kupanga siku ya kujadili miswada mbalimbali itakayowasilishwa Bungeni. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kitakachofuata baada ya hiki kikao ni posho ya kikao.Tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

    MPITA NJIA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...