Mshambuliaji wa timu ya Bunge SC, Adam Malima akimtoka beki wa timu ya Twiga Stars, Siajabu Hassan wakati wa mchezo wa hisani  ambao ulikuwa ni ni maalumu kwa kuichangia timu ya Twiga Stars uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Twiga Stars imeshinda 2-1.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Huyo ndio Adam Malima a.k.a. Jembe Ulaya!

    ReplyDelete
  2. sasa hao wabunge wametoa kiasi gani?je mapato ya meci ni kiasi gani?na hao Twiga wamepewa kiasi gani kati ya mkato wa meci? Jamani tuwe weupe kutoa habari ya ukweli ili watu wenye kupenda changia wachange,natoa hoja

    ReplyDelete
  3. Namkubali jamaa kiwango!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  4. Mnaona TWIGA wazuri sana,,,mademu wanweza kuwagonga TAIFA kama wakikaa vibaya!

    ReplyDelete
  5. Huyo aliyetaka kujua wabunge wametoa ngapi, wametoa Shs milioni saba. Naibu Waziri wa Mendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu alimkabidhi nahodha wa Twiga Stars, Sophia Mwasikili. Ungebofya kwa picha zaidi ungepata kila kitu. Haya shime watanzania tuwawezeshe Twiga Stars.

    ReplyDelete
  6. Hawawez kuwa gonga TAIFA hata kama hawajafanya mwez zoez. Dume ni dume tu

    ReplyDelete
  7. Hii picha mpiga picha hujamtendea haki huyu mchezaji wa twiga au fahari ya macho?

    ReplyDelete
  8. Hahahahaa Kuna Mdau wa Kwanza itakuwa hajaelewa Adam Malima nani Kafananisha kuona Malima. Adam Malima ni Mbunge na Bakari Malima ndio alikuwa Jembe Ulaya mchezaji wa zamani Pan African/Dar Young African.

    Ila hapo mtu karambishwa majani naona.

    ReplyDelete
  9. milioni saba ndogo ukizingatia wanapata 200,000 kwa siku.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...