Familia ya Dkt. Fanuel Maro wa Upanga jijini Dar es Salaam inasikitika kutangaza Kifo cha Baba yao Mpendwa Dkt. Fanuel Maro (pichani) kilichotokea jana jioni (tarehe 7/1/2012) katika Hospitali ya Regency iliopo Upanga, jijini Dar es Salaam.

Masiba na utaratibu wa kusafirisha mwili kwa mazishi unafanywa nyumbani kwa Marehemu Upanga Mtaa wa Longido jijini Dar es salaam.

Ibada ya Kuaga Mwili imepangwa kufanyika katika Kanisa la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam siku ya jumanne (tarehe 10/1/2012) na baada ya kufanyika kwa ibada hiyo mwili ya Marehemu utasafirishwa kuelekea Old Moshi Mkoani Kilimanjaro kwa Mazishi ambayo yatafanyika siku ya Jumatano (tarehe 11/1/2012).

Mungu aiweke Roho ya Marehemu Dkt. Fanuel Maro mahala pema peponi
Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. John RichardJanuary 09, 2012

    Brian, brother wako, na ndugu zako na jamaa wote, poleni sana na msiba huu.

    Mimi ni John Richard.

    UK.

    ReplyDelete
  2. Wanatakia familia ya Doctor Maro nguvu na ushirikiano mkubwa kupita wakati huu mgumu. Tunaamini hamna sehemu nzuri kama kwa Mungu. Eeeh Mungu Babu ilaze roho ya Baba yetu mahala pema.

    ReplyDelete
  3. huyu baba alikuwa mteja wangu bank, poleni sana jamani.

    ReplyDelete
  4. Alikuwa muumini mwema na mwaminifu kwa Bwana Yesu.....RIP Dr, na manafamilia wenzetu mwenyezi Mungu awatangulie katika kipindi hiki kigumu.

    ReplyDelete
  5. RIP Dr Maro, Mungu awape nguvu wafiwa wote
    Peter my dia, pole sana

    ReplyDelete
  6. BRIAN MARO pole na msiba huu mimi SADA SHAHA . Forodhani nitajitahidi kuja

    ReplyDelete
  7. poleni san familia ya dk.maro

    ReplyDelete
  8. RIP baba Maro. he was my goldfather, Missin u.love u.HE WAS SO ESP TO ME,4REAL.DAMN!KEEP YOUR HEAD UP BRIAN,PETER N THE REST OF FAMILY NA POLENI SANA.RIP DR MARO, FOVER U'LL BE IN MY HEART. AMEN.

    ReplyDelete
  9. Tito KyandoJanuary 11, 2012

    I MEANT,MY GODFATHER NOT MY GOLDFATHER, TYING ERR. LIFE HAS SO MANY SAD AND BAD MOMENTS. AGAIN RIP DR MARO.thx kaka michuzi wa habari hii.

    ReplyDelete
  10. I have been blessed to have him as an uncle, poleni kwa wafiwa wote. RIP Doctor!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...