Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. Mbona siuelewi wimbo huu, yaani intreo ndefu utafikiri ni movie.
    Uimbaji mbovu. no chance on the chart sir.

    ReplyDelete
  2. HII JAMAA NAONA ALIJARIBU NAYE KUUZA SURE TU , AKUNA CHA MZIKI WALA NINI , NA MDOGO WANGU UPO DARASA LA KWANZA ANA ANAIMBA VIZURI KULIKO HUYU JAMAA LOL
    HAHHA KAKA UMECHEMSHA WEWE PIGA BOX TU NDO UNACHO WEZA MZIKI WAACHIE WAKINA DAZ BABA LOL


    MDAU PARIS

    ReplyDelete
  3. Tafuta kazi nyingine ya kufanya kaka this fani is not for you. Usi-force issues sio kwa kuwa baba ni mwanamuziki basi lazima nawe uwe hivyo.. Umejaribu imeshindikana usiharibu jina kubwa alilotengeneza Mzee wako.. Yeye alizaliwa na kipaji... Very painful kuona una struggle... Very pitchy melody.. Ouch..agrrrrrrrr

    ReplyDelete
  4. DUU WIMBO MBAYA SANA.... KAMA TAARABU ,,, NADHAN HANA MASHAIRI

    ReplyDelete
  5. Some real talk up there brother,try something different,music aint your thing

    ReplyDelete
  6. Mh, haka kataarab sio kabaya mwe!

    ReplyDelete
  7. AJ NICE JOB BABY BOY,GOOD VOICE NICE VIDEO TRANSITION.
    YOU SHOULD WORK ON SONG LYRICS,YOU DONT HAVE TO WRITE YOUR OWN SONGS, WORK WITH OTHER TANZANIAN MUSICIANS ON LYRICS.
    AND THE LYRICS HAVE TO HAVE RHYMES,
    THIS SONG SOUNDS LIKE YOU JUST COME UP WITH THE LYRICS COUPLE OF HOURS.
    GOOD JOB THOUGH, USIWASIKILIZE WABONGO ...YOU KNOW HOW WE TANZANIANS ARE...
    KEEP YOUR HEAD HIGH B AND MAKE US PROUD..

    MDAU
    DMV

    ReplyDelete
  8. UKISEMA TAARAB MTAKUWA MNAWAKOSEA HADHI WAIMBAJI WA TAARAB MNAWAKOSEA KABISA, HAIPO KABISA KWENYE TAARAB WALA BONGO FLAVA YA SIKU HIZI, HII KAMA BONGO FLAVA ZA MWANZO WA 2000-2005 ZA KINA BIZMAN AU YULE ALIYEIMBA KIKUKU CHA MAMA RODA JAMAA MSIMKATISHE TAMAA MREKEBISHENI TU ABADILI MWENENDO WA NYIMBO ILA VIDEO JAMAA NDIO WAMEJICHORESHA.

    ReplyDelete
  9. jamani!!!!!kuna watu tunawajua kumbe mambo yenyewe ni hivyo?mi nilikuwa nasikia wengine ma lawyer huko marekani sasa nawaona mnauza sura katika video,ndugu zenu mnatuabisha sasa.

    ReplyDelete
  10. yaani hiyo chorus inaonekana imeigwa toka ktk wimbo mwingine wa magharibi, maana midundo ni ya kimagharibi (si angetulia midundo hiyo basi). maana alipoingia na midundo mingine baada ya pale akachemsha. baba yake alikuwa kiboko lkn wimbo huu mbovu. wasiliana na WiseMad wa 360 sounds pale Namanga akutengenezee beats nzuri. mdau UK.

    ReplyDelete
  11. Waimbaji wengi walianza hivyo,,afadhali hata wewe video nzuri,,,usikate tamaa,,,jitahidi hao waliokusema watakushangaa,,,Ila Souti ya kuimba huna!Nakushauri uwe unarap na utafute mwenye sauti ya kuimba akuimbie verse yenye melod nzuri ya kuvutia,,Kisha usikurupuke tu na nyimbo,,ipange kisha uifanyie mazoezi,,usijiimbie tu mwenyewe,,Maproducer wa huko naona wanajali pesa tu sio kama wa Bongo,,,uimbaji wa namna hii,,majani angekuzaba vibao,,,au wengine wangekufukuza studio,,,maana kwa mwendo huu wanajiharibia soko,,,,Unasema wewe ni masikini wakati naona unacelebrate tu na wenzio,,wewe ukisema umasikini na wasanii wa nyumbani wenye souti nzuri ambao bado ni hoi bin ta'aban watasema nini?hata nauli ya kwenda studio mgogoro,wanatumia TZ Eleven(TZ11),,,Nimekuwa nao sana ndo maana nakwambia hivyo,,msanii mkongwe,,,Ahlam,,UK

    ReplyDelete
  12. Wabongo kwa madongo bwana. Huu wimbo hauna tofauti na nyimbo kibao nyingi za bongo flava zilizo ktk chart. Yeah,angejaribu kuweka bets nyingi balada ya kurudia rudia chorus "haya ni maisha yagu", bila kuweka bets nyingine in between. Lakini sio mbaya kama watu walivyokandia.
    Big ups Aj Ubao.Much love from Pa.

    ReplyDelete
  13. hAKO Ka crooked Dick utafikiri kenyewe ndo wimbo wake maana kameuza sura zaidi hata ya aliyeimba shame on you and you need to grow up

    ReplyDelete
  14. Short i'm tired of seeing you selling your face every where u go

    ReplyDelete
  15. NICE WORK..MAUDHUI MAZURI......LIVE UR LIFE BROTHER,THERE IS ALWAYS ROOM FOR IMPROVEMENT,DON LET ANY BODY SLOW U DOWN.

    ReplyDelete
  16. kwa sababu kaimba mtu kutoka marekani basi waosha midomo ndo wamechoooonga,inaeleweka wengi hampendi watu waishio ughaibuni kila wakati ni kuwavunja moyo tu,yatawashindamAj umejitahidi kaka kaza buti,na huyo Dick amewakosea nini hata mkamsema wimbo sio wake inahusu au ndo......

    ReplyDelete
  17. For sure huyu jamaa angeonana na Majani angetolewa nduki....jamaa baaaaaado saaaaana.

    Jamaa jipange km kweli una nia ya kuingia kwenye myuzik sio kirahisi hivyo.

    Hiyo style na myuzik wenywe mzima ni old na very very basic.

    ReplyDelete
  18. Crap! Hata watoto wanaojifunza kuimba washapita hiyo hatua.

    ReplyDelete
  19. Wenzetu walio Nje wanatakiwa kuhakikisha wanatushawishi kuwa huko walipo ni kuzuri kushinda TZ. Sasa inakatisha tamaa kumuona kijana anakaa Nje tena USA ambako wanavifaa bora zaidi vya muziki na wameendelea kwenye tasnia nzima ya mziki anashindwa kutumia advantage aliyonayo kutengeneza nyimbo bora na yenye kiwango badala yake anajidhalilisha a kuleta wimbo mbovu kama huu. Nyimbo hii labda angeitoa miaka ya 90`s wakati vijana wanapigana kutafuta ubora wa RnB na Rap. Kwa taarifa yako Bongo tuko mbali zaidi ya hapo,unaweza kutoka DSM hadi Arusha au Mbeya unasikiliza nyimbo bora za bongo bila kuforward CD jinsi vijana walivyotisha. Sikiliza wakina Bob Jr,Ali Kiba, Diamond, TID,Nature, TMK, Stevie, Lyna, Bele 9, nAKO 2 Nako, Ferouz n.k. Sasa kijana usitake utukumbushe tulipotoka huko hatuko tena, Bongo si kule unakodhani tunatisha. Usijitie aibu kaka, acha tafuta kazi itakayokufaa huku kuimba achana nako, maana ipo siku utajicheka ukijitazama.

    Ni hayo tu.

    ReplyDelete
  20. ha ha haa imekaa kikwaya zaidi.. na mashairi humohumo ebu ngoja nitumie sauti ya wimbo wako kuimba hii.. karudi baba mmoja ooh, toka safari ya mbali ooh, kavimba yote mapaja ooh, nakutetemeka mwili ohh, watoto wake wakaja ooh, ili kutaka hali ooh!

    kaka kiukweli we bado saanaana na wala sie sio mahater ni ukweli na uwazi tuuu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...