Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gahrib Bilal akiongoza sala maalum ya kuombea marehemu mbele ya jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Balozi Athumani Mhina, kabla ya mwili huo kusafirishwa leo kwenda Korogwe kwa mazishi. Shughuli hiyo ilifanyika nyumbani kwa marehemu, Wazo, jijini Dar es Salaam leo.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Mwandishi wa habari naona ameteleza kidogo kwa sababu anayeongoza sala ni yule aliyeshik microfon ambaye si Ghalib Bilal. Ghalib Bilal anaonekana amepanga safu na waumini wengine.
ReplyDeleteNi kweli anaeongoza sala ya maiti hapa ni imamu ambaye amesimama mbele. Muheshimiwa Bilali anashiriki tu katika sala hii na wala haongozi.
ReplyDeleteMIMI NAONA MWANDISHI HAJAKOSEA HATA KIDOGO SABABU MUHESHIMIWA BILALI ANAONGOZA KAMA INAVYOONEKANA YUPO MSTARI WA KWANZA AMA KWA LUGHA NYINGINE MSTARI WA MBELE NA NYUMA YAKE KUNA MISTARI MINGINE
ReplyDeletenop amekosea,ukizungumzia jambo la sala anayeongoza anaitwa imamu na simwengine.
ReplyDeletehapa angelisema hivi:dr mohammed gharib bilal ambaye ni kiongozi wa ngazi za juu katika serikali naye alishiriki katika kumsalia marehemu.
ReplyDelete