Wale wapenzi wa muziki wa taarubu au rusha roho wa jiji la New York na vitongoji vyake, ile siku iliyokuwa inasubiliwa kwa hamu sasa imekaribia. Hii itakuwa ziara ya kwanza ya Mfalme wa Mduara nchini Marekani na amewawakikishia wapenzi wake makamuzi ya kukata shoka. Vile vile atafanya uzinduzi wa albamu yake mpya "MPENZI CHOCOLATE". Kazi Kwenu!! Kwa maelekezo zaidi au kupata tiketi piga simu namba             (917) 709 6889                  (917) 335 5132       & (347) 475 4313 begin_of_the_skype_highlighting            (347) 475 4313      end_of_the_skype_highlighting.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ama kweli maisha ni maajabu from zero to hero.

    ReplyDelete
  2. tunakusubiri mzee!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...