Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Vijana kutoka nchi mbalimbali za Afrika zikiwemo Afrika Kusini, Namibia na Uganda alipotembelea Kambi Maalum ya Vijana Wajasiriamali wa Kikristu Tanzania (UVIKIUTA) iliyopo Chamanzi, Dar es Salaam. Vijana hao wapo kwenye kambi hiyo kwa ajili ya kufanya kazi za kujotolea. Picha na Bashir Nkoromo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. jitu la watu jitu la kazi mtoto wa mujini huna hata chembe ya kuja dar wa hapohapo kaza buti

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...