Home
Unlabelled
ndege na wadudu pia ni vivutio vikubwa katika hifadhi zetu za taifa!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Utalii wa ndani mlalahoi hauwezi. Utalii wa ndani kwa wenye kazi za mishahara kuanzia £800,000/= kwenda mbele ndio wanaoweza ambao idadi yao ni watu laki 3 tu Tanzania nzima.
ReplyDeletehaha nchi watu milion46 sio@ anonymous hapo juuu
ReplyDeleteutalii kwa watanzania wenyewe ilitakiwa uwe ni bure
ReplyDeletempaka leo hii wanafunzi wa mashule mbalimbali hawafiki kujionea wanyama au mlima kilimanjaro kutokana na hakuna mipango iliyoandaliwa kuwafikisha kujionea vitu vyao watabakia kuimba mashuleni mlima kilimanjaro ni mlima mrefu una vilele viwili kibo na na nini sijui
wakati wenyewe watabakia kuona kwenye picha tu
huku ughaibuni kuna mipango maalumu ambayo kila baada ya kukaribia kufungwa mashule wanafunzi huandaliwa safari za pamoja kwenda kujionea vitu mbali mbali vilivyopo ndani ya nchi yao
kwa ghalama za serikali kwani ni moja ya elimu kuwapatia wanafunzi elimu ya kufahamu mambo mbali mbali
Mmejaribu kuuliza kuhusu gharama za safari za kutalii ili kuthibitisha msemayo?
ReplyDeletenaomba annony 1 & 2 mfanye hivyo ndio mje mseme hayo msemayo maana sidhani kama ni ya ukweli. Ni swala tu la mipango na muda. TANAPA wanakuwa na safari za kwenda Mikumu toka Dar na kule Arusha pia kwa gharama ya TSH 10,000/=. lakini sidhani kama wengi tunaiona hii kama ni fursa ya utalii kwetu. Utalii una madaraja yake na kila daraja lake lina kiwango chake cha gharama - kama ulivyo usafiri wa anga au reli.
Tuthubutu na tuache kuosha vinywa kwa mchanga kwenye mambo ambayo tunayamudu tikuamua kuchagua
Mkereketwa
watoto wetu wanahitaji shule,walimu,madawati,vitabu, madawa,yunifon, na chakula cha uhakika utali hauna nafasi kwa watanzania walowegi hawana uhakika na maisha yao na watoto wao wapo wanaohitaji utalii ni watoto wa vigogo mafisadi si mtoto wa mkulima
ReplyDeleteFanyeni mpango basi hata kunguru wa dar na inzi wawe vivutio vya utalii
ReplyDelete