Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo na Balozi wa Marekani nchini, Bw. Alfonso Lenhardt baada ya kufungua Mkutano wa majadiliano ya Kisera kuhusu Matumizi ya Umma na Wiki ya Umaskini kwenye ukumbi wa hoteli ya Blue Pearl - Ubungo Plaza jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo baada ya kufungua Mkutano wa Majadiliano ya Kisera kuhusu Matumizi ya Umma na Wiki ya Umaskini kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl- Ubungo Plaza jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...