Home
Unlabelled
Waziri Mkuu atembelea Chuo Kikuu cha Sayansi na Tekinolojia cha Nelson Mandela mjini Arusha leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hiki ni binafsi au? na ni arusha sehemu gani? au ni TCA imebadilishwa?
ReplyDeleteNi chuo kipya mkuu ,ni cha serikali kwa msaada wa wahisani ....ni kati ya vyuo ambavyo vitakuja kuwa bora kabisa kwenye science na wameshaanza kuchukua wanafunzi wa masters na PhD.Tembelea tovuti yao http://www.nm-aist.ac.tz/
ReplyDeletekiko tengeru arusha. Ni cha serikali soma zaidi kwenye mtandao wao, utapata mambo mengine zaidi. Just gooogle
ReplyDeletehiki ni chuo cha Serikali na hakijajengwa kwa msaada wa wahini kimejengwa na serikali kwa kutumia mkopo wa Mifuko ya hifadhi ya Jamii. ni chuo kikali sana na cha kipekee kabisa. Kiko kwnye majengo ya KAMATEC Tengeru. Uendeshaji wa chuo ni kwa ufadhili wa Nelson Mandela Fund
ReplyDelete