Mshambuliaji wa timu ya Moro United,Simone Msuva akijaribu kumtoka kiungo wa Yanga, Nurdin Bakari wakati wa mchezo uliopigwa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar.timu hizo zote zilitoshana nguvu ya kufungana mabao 2-2.
Golikipa wa Yanga, Shaban Kado akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Moro United, Lambele Jerome.
 Moro United wakiandika bao lao la kwanza.
 hakuna kupita hapa.
 wachezaji wa Moro United wakishangilia bao pili,kabla ya Yanga kusawazisha na kufanya matokeo ya mchezo huo kuwa 2-2.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. MSHIKAJI NAMBA 15 ANAONEKANA HANA RAHA KABISA TIMU YAKE JANGWANI IPO NYUMA. MAANA HASHANGILII NA ANAONEKANA ANA USONGO KWA NINI WENZAKE WAMEPACHIKA BAO DHIDI YA YANGA.

    ReplyDelete
  2. Samahani wakuu, namtafuta sana yule bwana Mohamed Msomali aliwahi kuwa kucha wa Moro United, mwenye maelezo yake tafadhali msaada kwenye tuta nimekwama

    ReplyDelete
  3. Yebo yebo magazetini hamna Kitu.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...