KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Angetile Osiah (pichani) anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kichwa nchini India wiki ijayo. Angetile ambaye alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili katika wodi ya taasisi ya Mifupa (MOI)kabla ya kuruhusiwa jana amesema kuwa upasuaji huo unafuatia matokeo ya vipimo na ushauri toka kwa madaktari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. kila la kheri kaka. tunakutakia upasuaji mwema na upate nafuu haraka iwkenavyo urejee kazini.

    ReplyDelete
  2. Sanyingine ni MGUU maana wa dokta wetu hawaaminiki!

    ReplyDelete
  3. hujafa hujaumbika

    ReplyDelete
  4. Ndugu yetu O. Anjetile, Tunakutakia safari njema, matibabu mema, na inshallah, kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa.
    Kuwa na Imani na matibabu utakayopewa huko, na Inshallah utapona haraka haraka na urudi nyumbani.
    Mdau Mancheaster-Uk.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...