Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Kenya nchini Marekani Jana tarehe 27.02.2012 kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Mazingira na Madini wa Kenya Mhe. John Njoroge. (Picha na Mindi Kasiga)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...