Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwapungia mkono Maaskari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama, walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,wakati alipowaalika chakula cha mchana katika kambi ya Bavuai huko Migombani nje ya Mji wa Zanzibar leo,(kulia) Waziri Nchi Ofisi ya Rais Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Makame.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi .Ali Shein,akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Balozi Seif Ali Iddi,wakati alipowasili katika kambi ya Bavuai huko Migombani nje ya Mji wa Zanzibar leo,wakati alipowaalika Maaskari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,katika chakula cha Mchana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mdau
    Siyo MAKAMO wa Rais, ila ni
    MAKAMU wa Rais. Msipotoshe lugha yetu maridadi jamani!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...