More gas has been discovered by two exploration firms, further heightening the expectation that Tanzania could soon become a major gas economy.
Statoil and ExxonMobil, the two firms which made the discovery, said at the weekend that drilling at a deepwater wildcat in the Mafia Deep subbasin, 80km into the sea, has shown strong indication of the presence of gas.
Without giving details, the firms said in a weekend statement that the Zafarani-1 on Block 2 “has indications of natural gas in a good quality reservoir”.
The companies, which started drilling the well last month and expected to take as long as three months to complete the assignment, said they were still drilling and it was too early to give an exact amount of gas availability and commerciality.
Tanzania has of late become a beehive of oil and gas exploration activities. Encouraged by previous commercial gas discoveries in Songosongo and Mnazi Bay in the Ruvuma basin to the south, investors have poured massive amounts of money to carry out exploration.
About 3.5 trillion cubic feet of gas reserves have already been commercialised with natural gas wells being drilled in Songo Songo and Mnazi Bay gas fields. The gas produced is transported to Dar es Salaam through a pipeline where it is used to generate electricity and as fuel in industries.
Experts have estimated that Tanzania would confirm the presence of around 60 trillion cubic feet of natural gas in the next five years, which would bring in thousands of billions of dollars in investment from the current 7 trillion cubic feet.
The government has started plans “to prepare the economy to handle huge foreign investment inflow” in gas production projects.
The Statoil and ExxonMobil drill site is 160km north-northwest of the Area 1 and Area 4 blocks off neighbouring Mozambique operated by Anadarko Petroleum Corp and Eni SPA, respectively, in the Ruvuma basin.
For source CLICK HERE
For source CLICK HERE
Gas rules the world, it's the head of the devil. I am saddened and dreadful for what is going to happen to Tanzania. Not every oil discovery is a grace, Iraq and Nigeria set classic examples.
ReplyDeletePengine nitaonekana mshamba na wa kizamani (na sijali), ila nawaambia leo kuwa ugunduzi wa mafuta nchini ndio mwanzo wa mwisho wa amani ya Tanzania, na mwanzo rasmi wa ufisadi usiodhibitika na usiofichwa.
Amani ipo ktk mikono ya Mtanzania kwahiyo inategemea wangapi wataweza kuiweka amani na wangapi hawapendi kuweka amani.
ReplyDeleteIla wakati mwingi kuvunjika kwa amani hutokana na umasikini unaotokana ktk utajiri.Na wale wasiopenda amani ni ktk wale wenye tamaa na kutaka mambo ya haraka na ubinafsi.
Lakini hutegemea wananchi vilevile ktk kuelewa kwao kutoka kwa wanasiasa kwa maana wanasiasa ndio chanzo cha kuvunjika kwa amani kutokana na vishawishi kutoka nje ya nchi.
Na kwa muelekeo wa dunia leo hii ndugu yangu sikushangai wala sikuoni kama mshamba ila tumuombe mwenyezi mungu sana ili nchi yetu iweke amani.
Mungu ibariki Tanzania
mdau wa kwanza wala sio mshamba naungana nawewe asilimia mia. ufisadi utakithiri na maisha yatakuwa magumu kupita kiasi. hiyo gesi iliyopo kwenye market watanzani wanafaidikaje. gasi haina uafadhali??? na mwisho wa haya ni uharibifu wa mazingira full stop. kama hujui uharibifu wa mazingira fanya research utajua kiasi gani BP wameathiri maizngira kwenye gulf of mexico kwa kufikiria matumbo yao.
ReplyDeleteI agree with you all! Wakati tunafurahia ugunduzi huo tuangalie kwa kina madhara ambayo yamelewa na uchimbaji wa madini/exploration ulimwenguni kote, Niger ikiwa mfano wa kuigwa. I hope vigezo vyote vya kiafya vitatekelezwa kabla ya kuwaruhusu wachimbaji hawa kuendeleza kazi zao nchini mwetu: afya ya jamii, mazingira (environmental health), hospitali na shule katika maeneo machimbo yalipo ni vitu muhimu kama vigezo vya kuendeleza jamii na kuleta maendeleo katika maeneo hayo.
ReplyDeleteTafadhali viongozi mnapopokea rushwa mkumbuke kuwa kuuza nchi yenu ni kuuza utu wenu na vizazi vyote vijavyo .. Tamaa zenu zisiwafanye kutoa utu wenu!
''the ordinary mwananchi'' atafaidika vipi na gesi ambayo hata serikali haina hisa za maana .....hapa itakuwa kama madini maana sisi ni mambumbumbu mikataba feki isyo na maslahi kwa taifa
ReplyDeleteNapenda kusema kuwa pamoja na maoni yenu mazuri ya kimaendeleo, hakuna kiongozi wa sasa anaejali na pia hawana muda wa kusoma haya maoni.
ReplyDeleteNi vizuri kuona Watanzania wanatoa mawazo yao ya maana ya kujenga nchi, ila tatizo wengi wa wanao andika haya maoni hawako nyumbani hivyo hata jamii ya watanzania hapo nyumbani wameishazoea matatizo.
Inasikitisha ila ndiyo hali halisi.
Mako.
Hiyo GESI ni furaha ka vizazi vya ULAYA tu kwani hawa kina Ngeleja washaamua ni kazi moja tu kuwapa kila kitu wao wanasubiri 30% ya kodi kwa net profit iliyochakachuliwa
ReplyDeletehaya mavumbuzi ya MALI kwetu Tanzania kila kukicha GAS, OIL, URANIUM....sasa ni wakati muafaka wa Kushikana mashati na kuwajibishana kwa Mambo kama UFISADI na MAKUNDI YA KIMASLAHI.
ReplyDeleteKama inatokea Ubaya unafanywa na kundi la wacheche wanaojulikana na kuhesabika miongoni mwetu dhidi ya Mhe. Mwakyembe bila kuwajibishwa na kuchukuliwa hatua zinazo stahili, kweli itawezekana kuwazuia watu hawa dhidi ya maslahi ya kwenye hizi mali?
Mimi bado na imani na amani ya watanzania.
ReplyDeleteKama kuna hiyo Gas, naomba ipatikane kwani huko tunakoenda, nishati itakuwa adimu na aghali.
Kuna jirani wanachapana makonde ingawa hawana mafuta au Gas.
Mola, tunaomba utupatie hiyo Gas, Uzalendo na utuendelezee amani yetu.
Ni muhimu kuchukua Tahadhari kwa ujio wa kupatikana aina mbalimbali za rasilimali nchini kama hii gas inatubidi TUYADHIBITI 'MAJOKA' YETU HASA HAYA MANNE HAPA CHINI:
ReplyDeleteED: LW Mzee Mmasai
AN: CN Mvuvi wa Ukerewe/ Hakimu
RS: AZ Mhindi wetu wa Tabora
NZ: KR Msomi wetu / Taita wa Bukoba
MAJOKA YETU HAYA HATARI YANAWEZA KUSHIRIKIANA NA MAJOKA YA NJE KUIFILISI NCHI NA ISIPATE FAIDA NA MALI HIZI.