Maafisa Vipimo wakikagua  usahihi wa pampu kwa lengo la kuhakikisha  zinapima  kama inavyotakiwa kwa ajili ya kuwalinda walaji huko Temeke jijini Dar leo kuhakikisha kuwa wananchi hawapunjwi wanapokwenda kununua mafuta.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Watu kama hawa baada ya kufanya huu uchunguzi wanapewa rushwa, hakuna kitakachofuatiliwa.
    Wametumia pesa za walipa kodi kwa manufaa yao binafsi.

    Inatakiwa kuwepo na system inayoeleweka ya kuwezesha kuwawajibisha watu wanaoendesha biashara kinyume cha sheria. Na kama ni kuwachunguza basi wafanye uchunguzi huu mara kwa mara ili kuwafanya hao wafanyabiashara kufikiria mara mbili mbili kabla ya kufanya upuuzi wao.

    Akhsante,
    Mako.

    ReplyDelete
  2. SAFI SANA WMA.CHONDECHONDE MUWE NA MAZOEZI YA KUSHTUKIZA KM HAYO MARA KWA MARA.WANANCHI TUNAUMIA SANA NA UHUNI UNAOFANYWA NA WAUZA MAFUTA NA SIO SIRI MALALAMIKO MENGI YANAENDA KWA HAO WENYE RANGI YA YANGA.MUWACHUNGUZE VIZURI KWANI WANANCHI TUNAUMIA.

    ILA NAWAPA TAHADHARI MSIWAHUSISHE POLISI HASA KWENYE HATUA ZA AWALI ZA MAZOEZI KAMA HAYA KWANI POLISI WANA NJAA MNO WANAVUJISHA TAARIFA KWA WAHUSIKA NA KUFANYA ZOEZI LISIWE NA MAANA YOTE.

    ReplyDelete
  3. Nawaomba hao jamaa waende na kwenye mabucha ya hapa Dar. nina uhakika asilimia 80 mizani zao zinapunja.

    ReplyDelete
  4. hawa mimi nawafahamu sana ni ombaomba wakubwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...