Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akizungumza na waandishi wa Habari katika mkutano na waandishi wa habari kuzungumzia Siku ya Sheria Nchini (Law Day) itakayofanyika kesho tar. 03.02.2012 katika eneo la Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, Kulia kwa Jaji Mkuu ni Msajili wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Francis Mutungi. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. inamaana kesho ni siku ya sheria???siku zingine sheria haifahamiki au vipi??? au ni siku sheria inafuatwa?? au sheria ilishuswa kutoka mbinguni??

    ReplyDelete
  2. Nadhani mpiga picha (au aliyeweka caption) alikuwa anamaanisha KOSHOTO KWA JAJI MKUU NI MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...