KAMATI YA MSIBA WA NDUGU YETU TAMBAZA MOHAMED TAMBAZA INAARIFU KWAMBA KHITMA YA MAREHEMU ITASOMWA JUMAMOSI HII FEBRUARI 18, 2012 MTAA WA CONGO JIJINI DAR ES SALAAM SAA 7 MCHANA. MAREHEMU TAMBAZA, AMBAYE ALIKUWA MWANAMICHEZO NA MWANAHARAKATI WA MAENDELEO YA JAMII ATAKUMBUKWA KAMA MMOJA WA WANA DAR ES SALAAM WALIOJIZOLEA UMAARUFU MKUBWA KATIKA JAMII KUTOKANA NA JUHUDI ZAKE ZA KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KUENDELEZA MSTAKABARI WA MAENDELEO YA WANANCHI.
Home
Unlabelled
Khitma ya Marehemu Tambaza Mohamed Tambaza kuwa Jumamosi Februari 18, 2012 Dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...