“Ina thamani machoni pa Bwana, mauti ya wacha Mungu wake”. Zaburi 116:15

Ilikuwa ni fahari kuwa na baba kama wewe, japo muda ulionekana mfupi kuwa nawe lakini Upendo, malezi ya kimwili na kiroho, mafundisho, ucheshi wako hautasahaulika.
Daima utakumbukwa na mke wako, watoto wa kiroho na kimwili, wajukuu wa kiroho na kimwili, ndugu, jamaa na marafiki. Mungu ana makusudi katika kila jambo, Jina la Bwana libarikiwe.
“Maana ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu , Mungu atawaleta pamoja naye”. 1 Wathesalonike 4:14.
Nyie mlimpenda lakini bwana alimpenda zaidi..Ila jamani ingekuwa vizuri mkatueleza ni Familia ya Mabondo wa wapi(sehemu,mji,mtaa nk) na si vibaya kutaja na majina ya mke,watoto,nk katika kipindi hiki cha kumbukumbu.Ni ushauri tu
ReplyDeleteDavid V
Naona kama ni jana tu ulipoondoka baba yangu.
ReplyDeleteRIP Mchungaji, kwani ulikuwa na Upako wa kweli, na ulinitoa mapepo na sasa nimepona kabisaa RIP Amen!!
ReplyDelete