Baadhi ya mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kutoka kushoto,Dk Diodorus Kamala(Ubeligiji)Mohamed Hamza(Misri)Ladislaus Komba(Uganda)na Dk James Nsekela(Italia) wakiwa kwenye uwanja mdogo wa ndege wa Seronera ndani ya Hifadhi ya Serengeti katika ziara ya kujifunza namna ya kukuza utalii nchini iliyoandaliwa na Hifadhi za Taifa(Tanapa.Picha na Filbert Rweyemamu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Hii sasa inatia aibu, hawa mabalozi wanakwenda kutembea mbugani huku wamevaa suti, wajameni mabalozi acheni ushamba, ndo kuna afisa was ubalozi wa bongo nje, alimwambia mzungu mmoja huku ughaibuni ya kwamba mlima Kilimanjaro is the besy for "skiing" kwani una theluji za kutupa!

    ReplyDelete
  2. Hii sasa inatia aibu, hawa mabalozi wanakwenda kutembea mbugani huku wamevaa suti, wajameni mabalozi acheni ushamba, ndo kuna afisa was ubalozi wa bongo nje, alimwambia mzungu mmoja huku ughaibuni ya kwamba mlima Kilimanjaro is the best for "skiing" kwani una theluji za kutupa!

    ReplyDelete
  3. Mdau wa 1, 2 una jazba mpaka unajichanganya. Hapo ndiyo kwanza wamewasili, watapumzika hotelini na kesho yake watavaa vipensi na tshirt na kuingia mbugani na Toyota Landcruiser 4x4 modified in Kenya. Program kama hizi zitaondoa huo utatata wa kuski kilimanjari, bila shaka.

    ReplyDelete
  4. Mdau 3, unawatetea wachovu! hata kama wanaenda hotelini, kivazi chao ni out of place,Bongo bado tupo nyuma kwa sana katika kutangaza utalii wetu, inatia aibu.

    ReplyDelete
  5. lengo la mabalozi ni kuelewa sekta ya utalii ili waweze kutangaza vizuri vivutio vya Tanzania na sio kujifunza kuvaa nguo za mbugani punguzeni fitina wazalendo kila jambo baya halafu mnasema kenya wanatangaza kilimanjaro upo kwao

    ReplyDelete
  6. lengo la mabalozi ni kuelewa sekta ya utalii ili waweze kutangaza vizuri vivutio vya Tanzania na sio kujifunza kuvaa nguo za mbugani punguzeni fitina wazalendo kila jambo baya halafu mnasema kenya wanatangaza kilimanjaro upo kwao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...