MAFUNDI 20 waliopewa kazi wa kushona sare zitakazovalishwa na Vijana wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wakati wa gwaride maalum siku ya kilele ya miaka 35 ya CCM wakiwa kazini jana kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza ambako sherehe za maadhimimisho hayo kitaifa zitafanyika Jumapili hii. Jumla ya vijana 400 kutoka wilaya zote za mkoa wa Mwanza watashiriki gwaride hilo.
Uwanja wa CCM Kirumba zitakakofanyika kitaifa sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 35 ya CCM, Jumapili hii, Februari 5, 2012, ukiwa umepambwa maneno ya kumkaribisha Mwenyekiti wa Chama, Rais Jakaya Kikwete ambaye atakuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...