Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mhe. Bernard K. Membe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kamisheni wa Umoja wa Afrika (AU). Wengine pichani ni Bi. Zuhura Bundala (kulia), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika wizarani na Bw. Assah Mwambene (kushoto), Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali wizarani. (Picha na Tagie Daisy Mwakawago wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...