Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza wakati wa kufunga Mkutano wa Wadau wa NSSF uliomalizika rasmi leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau akizungumza machache wakati wa kufunga Mkutano wa Wadau wa NSSF uliomalizika rasmi leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Kikao cha leo,Mh. Mudhihir Mudhihir ambacho kilikuwa kikizungumzia maswala ya maambukizi ya virusi vya ukimwi na Ukimwi kwa ujumla kwenye Mkutano wa Wadau NSSF ambao umemalizika rasmi leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...