Marehemu alikuwa akiishi Landover, MD. Ameacha mume na watoto wawili- mvulana wa miaka 4 na msichana wa miaka 2. Alikuwa akisumbuliwa na cancer ya utumbo.
Mazishi yatafanyika Maryland, U.S.A. Tafadhali tusaidiane ili marehemu apumzishwe.Kwa mchango tafadhali fika nyumbani kwa marehemu 3237 75th Avenue, Landover, MD 20785 au tumia Capital one Bank, Account# 1351500235; Routing # 255071981.
Kwa habari zaidi mpigie:
Magoma 202.607.1976;
Adelaida 240.602.3183;
Matinyi 301.792.2832;
Mkakile 240.938.3177;
Teddy 301.25441696;
Makaya 202.460.1044;
Latifah 240.603.7353.
Asanteni sana kwa ushirikiano wenu katika wakati huu mgumu.



poleni sana, msiba huu umenisikitisha mno!
ReplyDeleteNothing in this world can explain how great u was to us, very genuine person, Rest In Peace beautiful....u'll truly be missed head girl wetu St anthony's Sec School Mbagala 2001-2002, very very sad!
ReplyDeleteoooh My God huyu ni yule dada alikuwa head girl St. Anthony's Sec. School. R.I. P
ReplyDeleteMwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amen. Nami pia nimemkumbuka enzi zake ST. Anthony! Kweli binadamu ni kama maua.
ReplyDeletePoleni wafiwa na Mola awape nguvu katika kipindi hiki cha maombolezo. Jamani tukiamua kuandika kiingereza basi tuandike kizuri.
ReplyDeleteAzza B. Nyamakababi
ReplyDeleteJinsi nilivyosikitika siwezi kuelezea.
I have never been shocked this amount.
Mungu ajuae sikitiko la mwanadamu awafariji family members and friends kwa njia yake isiyoweza kuigwa, inayotibu majonzi katika vilindi na vyanzo vya sikitiko.