Askari wa kikosi cha zima moto wakijaribu kuzima moto kwenye nyumba aliyokuwa akiishi mwandishi wa habari wa Star Tv,Bw. Enos Masanja iliyokuwa ikiteketea kwa moto maeneo ya Soweto,mjini Moshi.
Baadhi ya wapangaji katika nyumba ya jirani wakijaribu kuokoa mali zao.
Hawa zimamoto wetu naona bado wananchangamoto ya vitendea kazi.
Mmoja wa wapangaji katika nyumba hiyo Bw Yusuph akijaribu kuokoa mali zake.
Mwandishi Enos Masanja akitazama nyumba aliyokuwa akiishi ikiteketea.
Kikosi cha zima moto wakijaribu kudhibiti moto usishike nyumba za jirani.Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi.
kwa uzimaji moto huo bado tuko nyuma sana kwani hatuna vifaa na wazimaji wenyewe sio...au hawana taaluma hii, ukiiangalia hio picha tu utapata jibu
ReplyDeletetumuombe mungu tu ila wapelekwe sehemu wakasomee hii kazi
Wakasomee wapi?Hapo ndiyo tayari wamehitimu ndugu yangu.Vitendea kazi duni kabisa.Sasa matukio kama hayo yakitokea sehemu mbili au tatu tofautisi mpaka vifaa vyao(zima moto)vitaungua? Inasikitisha sana
ReplyDeletenyie kazi kupepeta midomo tuuuuu nafasi zenyewe za kazi ndio hizi muje mufungue vyuo na maofisi binafsi ya zima moto.
ReplyDeletesasa hata air mask hawana na helmet za kazi wala hawana hata vifaa vya kuingilia ndani chumba cha moto na horse zinavuja maji kiasi hicho yaani bado sana lakini msikatike moyo wabongo mtafika tu huko muendako ,
ReplyDeleteKeith New York